Fri, 4 Jun 2021
Chanzo: millardayo.com
Afisa Habari na Msemaji wa klabu ya Simba, Haji Manara akiambatana na Mkewe na Msanii wa filamu nchini, ambae piani Msemaji wa Simba Queens Yvonne Cherrie maarufu Monalisa wakiwa ndani ya ukumbi wa bunge wakishuhudia wabunge wakiendelea na kikao cha 44 cha mkutano wa Bunge la Bajeti jijini Dodoma leo.
MSITU WA SHETANI, NGUVU ZA GIZA, MAAJABU YA KUTISHA, KONDOO 2OO NA WATU WAMEMEZWA
Chanzo: millardayo.com