Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Man City mambo ni moto Champions League yaichakaza FC Basel bila huruma

Wed, 14 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Manchester City imefanikiwa kusonga mbele katika michuano ya klabu bingwa barani Ulaya baada ya hapo jana kuchomoza na ushindi mnono wa mabao 4 – 0 dhidi ya timu ya FC Basel mchezo uliyopigwa katika dimba la St. Jakob-Park.



Waliyoibeba City wakiwa ugenini hapo jana ni Ilkay Gundogan aliyepiga mawili, Bernardo Silva na Sergio Aguero.

Kikosi cha Basel: Vaclik (4), Lacroix (5), Xhaka (5), Suchy (5), Lang (5), Frei (5), Serey Die (5), Riveros (4), Elyounoussi (5), Stocker (5), Oberlin (6).

Waliyokuwa benchi ni: Ajeti (5), Bua (5).

Kikosi cha Man City: Ederson (7), Walker (7), Kompany (7), Otamendi (7), Delph (7), Fernandinho (7), Gundogan (9), De Bruyne (8), Sterling (7), Bernardo (8), Aguero (8).

Na waliyokuwa benchi ni Danilo (n/a), Sane (6), Silva (6).

Mchezaji bora wa mchezo huo ni Ilkay Gundogan

Chanzo: bongo5.com