Mon, 1 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Suleiman Nyambui Mujaya, si jina maarufu katika medani ya michezo hapa nchini kama ilivyo kwa kina Sunday Manara, Leodger Tenga, Abdallah Kibaden au Filbert Bayi.
Nyambui ni mmoja kati ya wanamichezo bora kabisa kuwahi kutokea nchini ambae alipata kuliletea sifa Taifa kwa kushinda medali kadhaa.
Nyambui alikua ni mkimbiza upepo (Mwanariadha) wa mbio ndefu, yaani Marathoni.
Mwaka 1980, alishiriki mbio za mita 5000 na kushinda medali ya Fedha, huko Moscow katika michuano ya Olimpiki.
Haya hapa mahojiano yake, fuatilia ili kumfahamu zaidi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live