Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Madrid walivyosherehekea na kombe la UEFA Hispania, Ronaldo afanyiwa sapraizi (picha+video)

Video Archive
Mon, 28 May 2018 Chanzo: bongo5.com

/>

Kabla ya Sherehe hizo jana mchana wabingwa hao walitembeza kombe la UEFA kwenye viunga vya jiji la Madrid wakiwa kwenye gari maalumu la wazi.



Kilichosisimua zaidi wakati wa sherehe hizo ni pale mshambuliaji wa klabu hiyo, Cristiano Ronaldo aliposimama na kutoa hotuba fupi ambayo hata kabla ya kumaliza hotuba hiyo wachezaji wenzake na mashabiki walimkatiza kwa kuimba wimbo uliokuwa unasikika kwa maneno ya “Ronaldo Stay, Ronaldo Stay”. Tazama video na picha za matukio yote.





 

 

Loading...
Chanzo: bongo5.com