Mon, 28 May 2018
Chanzo: bongo5.com
/>
Mo Dewji ameweka picha hiyo na kuisindikiza kwa maneno “Tunaishi katika dunia ambayo imejaa watu wenye macho ya husda, fitna, unafki, na macho yaliyojaa wivu! Hakikisha unaenda na Mungu ili watu wenye macho mabaya wasiwe na nafasi ya kupenyeza ubaya katikati ya hatua zako za maisha (afya, elimu, ndoa, biashara)“.
Mo Salah mpaka sasa imeelezwa kuwa ana asilimia 80 ya kucheza kombe la dunia hii ni baada ya vipimo vya awali kufanyika usiku wa kuamkia leo.
Unadhani faulo aliyochezewa Mo Salah na mtukutu Sergio Ramos ni tukio la kimkakati yaani lilipangwa na Real Madrid au ni bahati mbaya?
_______________________________________________________________________________________________
Kwa sasa unaweza kupata habari zetu zote sehemu moja kwa kupitia App yetu ya Bongo5. Pakua sasa kupitia Play Store kwa kubonyeza link hii – https://bit.ly/2J2Argw
Loading...
Chanzo: bongo5.com