Fri, 4 Dec 2020
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Ofisa habari wa klabu ya Simba Haji Manara anasema Yanga wana moyo wa kupigania timu yao ingawa hawechezi mpira mzuri pia hawana wachezaji wazuri, lakini wanapambana.
Ofisa habari wa klabu ya Simba Haji Manara anasema Yanga wana moyo wa kupigania timu yao ingawa hawechezi mpira mzuri pia hawana wachezaji wazuri, lakini wanapambana. Manara anasema Simba wana timu nzuri kuliko timu yoyote hapa Tanzania Lakini wakati mwingine wanakosa ari ya mapambano (spirit).
Chanzo: zanzibar24.co.tz