Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Leroy Sane aondolewa kwenye kikosi cha Ujerumani 

8618 De1s6SpV4AECtO0 TZW

Mon, 4 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

Kocha wa timu ya taifa ya Ujerumani, Joachim  Low amewashitua wapenzi wa soka baada ya kumtoa kwenye kikosi cha wachezaji 23 Winga hatari wa Manchester City, Leroy Sane hii leo ikiwa ni harakati za kujiweka sawa kuelekea michuano ya kombe la Dunia nchini Urusi.



Kocha wa timu ya taifa ya Ujerumani, Joachim  Low

Kupitia mtandao wake wa kijamii wa Twitter Shirikisho la soka la Ujerumani limethibitisha kuachana na mchezaji huyo mchanga zikiwa zimebaki siku chache kabla ya mtanange wa kombe la Dunia kuanza nchini Urusi.



Winga hatari wa Manchester City, Leroy Sane

Chanzo: bongo5.com