Fri, 28 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa wall Street Journal Lamar Jackson ameongeza mkataba wa miaka mitano na klabu ya Baltimore Ravens wenye thamani ya dola milioni 260, na uhakika wa dola milioni 185, na kumfanya kuwa mchezaji anayelipwa zaidi katika NFL akiwa na wastani wa mshahara wa $52 milioni kwa mwaka.
Suala hilo Linakuja baada ya miezi kadhaa ya mazungumzo na ombi la awali la biashara.
Alijadili mkataba wake mwenyewe psipo kuwa na Mwakilishi yeyote.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live