Wed, 20 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
La Liga yaingia makubaliano ya miaka mitatu na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF yenye lengo la kuendeleza mchezo wa soka nchini wakati hafla ya utiaji saini ikihudhuriwa na marais wa pande zote mbili jijini Madrid hapo jana siku ya Jumatatu.
Loading...
Chanzo: bongo5.com