Mon, 3 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tangu atangazwe kwa mara ya kwanza, Msemaji wa Simba anazungumza Rasmi muda huu ambapo amegusia uwepo wao Zanzibar ni kuwa kuna watu wamewafuata.
Azungumzia suala la Uwanja bila kusahau suala la uzinduzi wa Jezi Mpya kwa ajili ya Kombe la Mapinduzi.
Tazama video umsikie akieleza masuala mbali mbali.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live