Mon, 4 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
Mchezaji tennis raia wa Uingereza, Kyle Edmund amejikuta akipokea kipigo kwenye mashindano ya wazi ya Ufaransa (French Open) mbele ya Fabio Fognini dimba la Roland Garros.
Mchezaji raia wa Uingereza, Kyle Edmund
Muingereza huyo, Edmund hakutegemea kupata matokea hayo mbele ya Muitalia kwenye mchezo huo wa French Open.
Mchezaji, Fabio Fognini
Fognini amefanikiwa kusonga mbele baada ya kuibuka na ushindi wa jumla ya seti 6-3 4-6 3-6 6-4 6-4.
Loading...
Chanzo: bongo5.com