Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kikosi kamili cha Yanga SC dhidi ya Majimaji hiki hapa

TZW

Wed, 14 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1 – 0 dhidi ya St Louis mchezo wa klabu bingwa Afrika hatimaye mabingwa watetezi wa ligi kuu soka Tanzania Bara klabu ya Yanga hii inatarajia kushuka dimbani kuivaa timu ya Majimaji hii leo.

Kuelekea katika mchezo huo muhimu kwa pande zote mbili kuhitaji kuibuka na ushindi ili kuondoka na pointi tatu, Yanga SC imeanika kikosi chake kitakachoshuka uwanjani.

Chanzo: bongo5.com