Mon, 17 May 2021
Chanzo: ippmedia.com
Yanga ilikuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu muhimu katika mchezo wa Ligi Kuu Bara waliocheza Mei 15, dhidi ya Namungo FC kwenye uwanja wa Mkapa.
Yanga ilikuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu muhimu katika mchezo wa Ligi Kuu Bara waliocheza Mei 15, dhidi ya Namungo FC kwenye uwanja wa Mkapa. Baada ya dakika 90 kukamilika kibao kilisomeka Namungo 0-0 Yanga na kuwafanya wagawane pointi mojamoja.
Chanzo: ippmedia.com