Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kikosi cha Simba Vs Gendarmerie hiki hapa mfumo ni 5-4-1

3590 WhatsApp Image 2018 02 20 At 13.29.22.jpeg TZW

Mon, 26 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Klabu ya Simba yaanika kikosi chake kitakacho ingia uwanjani hii leo kuivaa Gendarmerie katika michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika CAF.

Katika mchezo wa kwanza uliyopigwa jijini Dar es Salaam Simba SC ilichomoza na ushindi wa mabao 4 – 0 dhidi ya Gendarmerie .

Chanzo: bongo5.com