Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kijana Gift alieuwawa kwa kupigwa Risasi DAR amezikwa leo (Picha 13+)

3 2 1 660x400 Kijana Gift alieuwawa kwa kupigwa Risasi DAR amezikwa leo (Picha 13+)

Thu, 22 Jul 2021 Chanzo: millardayo.com

Kijana Gift Mushi ambaye aliuwawa kwa kupigwa risasi akiwa Bar Sinza kwa Remy Dar es salaam weekend iliyopita, amezikwa leo kwenye makaburi ya Vikunai Mtoni Kijichi Dar es salaam.

Meneja wa Bar hiyo alisema Gift alipigwa risasi na Kijana mwenzake Alex Korosso baada ya kuinuka kutoka kwenye meza yake kwenda kumuomba Alex aache kutisha Watu kwa bastola aliyokua nayo ndipo Alex alipompiga risasi kwa hasira.

Kamanda wa Polisi Kinondoni Ramadhani Kingai amesema bastola aliyokua nayo Alex alikua akiimiliki kihalali lakini akawataka Watu kutokwenda na silaha Bar kunywa pombe hata kama wanazimiliki kihalali kwani wakilewa zinaweza kusababisha madhara kwao au kwa wengine.

.



.

.



.



.

.



.



.

.



.



.

.



.

MAGARI YAFURIKA MAZISHI YA GIFT ALIYEUAWA KWA KUPIGWA RISASI
Chanzo: millardayo.com