Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kabwili baada ya kucheza kwa dakika 90 kwa mara ya kwanza Yanga

2748 Screen Shot 2018 02 06 At 9.52.02 PM 660x400.png

Wed, 7 Feb 2018 Chanzo: millardayo.com

Baada ya game AyoTV iliongea na golikipa Ramadhani Kabwili wa Yanga ambaye ana umri chini ya miaka 20 na leo ameidakia Yanga kwa mara ya kwanza katika mechi ya mashindano kwa dakika 90.

Baada ya golikipa Namba moja wa Yanga Rostand kuwa nje ya uwanja kwa majeruhi toka mchezo dhidi ya Lipuli. Kama utakuwa unakumbuka vizuri Ramadhani Kabwili alikuwa sehemu ya kikosi cha Serengeti Boys under 17 kilichoiwakilisha Tanzania katika michuano ya AFCON U-17 iliyofanyika mwaka 2017 nchini Gabon.

VIDEOMagoli: Ushindi wa 4-0 wa Yanga vs Njombe Mji, Obrey Chirwa akipiga hat-trick

Chanzo: millardayo.com