Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kaburu ajitokeza mkutano mkuu Simba

Kaburu Pic Data Kaburu ajitokeza mkutano mkuu Simba

Sun, 21 Nov 2021 Chanzo: www.mwanaspoti.co.tz

Dar es Salaam. Aliyewahi kuwa makamu mwenyekiti wa klabu ya Simba, Geodfrey Nyange 'Kaburu' ni miongoni mwa wanachama waliojitokeza kwenye mkutano mkuu wa Simba unaoendelea katika ukumbi wa kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere, Dar es Salaam.

Kaburu amewasili kwenye mkutano huo saa 4:02 asubuhi na kwenda kukaa kwenye moja ya viti vya mbele vya ukumbi wa Mwalimu Nyerere unapofanyika mkutano huo.

Baada ya kuketi, baadhi ya wanachama walikwenda kumsabahi na wengine kuibua minong'ono.

Chanzo: www.mwanaspoti.co.tz