Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Jinsi Kikosi cha Simba SC kilivyopokelewa kwa msafara wa mashabiki Bukoba Mjini leo (Pichaz+)

1581 WhatsApp Image 2018 01 19 At 13.40.40 660x400

Fri, 19 Jan 2018 Chanzo: millardayo.com

Timu ya Simba Sports Club asubuhi ya leo January 19, 2018 imewasili mkoani Kagera kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya Ligi Kuu Vodacom Tanzania bara dhidi ya wenyeji wake Kagera Sugar wiki ijayo.

Timu hiyo imepokelewa vyema na mashabiki wao katika uwanja wa ndege Bukoba huku wakiongozana nao mpaka hotelini walipofikia.

Mechi hiyo inatachezwa katika uwanja wa Kaitaba uliopo katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera siku ya Jumatatu January  22,  



BREAKING: Simba SC wameita waandishi wa habari leo



“Nilimuona sio mchezaji mzuri kumbe ameambiwa amerogwa”-Kocha Simba SC

Chanzo: millardayo.com