“Japokuwa tunakutana na timu ambayo inashikilia nafasi ya juu kwenye msimamo wa Ligi Kuu, kocha amesema haihofii kwa sababu tumejipanga vizuri kuhakikisha hatupotezi mchezo huo,” alisema Jamila.
“Japokuwa tunakutana na timu ambayo inashikilia nafasi ya juu kwenye msimamo wa Ligi Kuu, kocha amesema haihofii kwa sababu tumejipanga vizuri kuhakikisha hatupotezi mchezo huo,” alisema Jamila. Alisema mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na maandalizi yaliyofanywa na kila timu huku akiwaomba mashabiki wao wajitokeze kwa wingi uwanjani ili kuwapa hamasa wachezaji waweze kutimiza mipango yao.