Rais Mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amezitaka timu zinazoshiriki Ligi Kuu hapa nchini kuwekeza kwa timu za watoto na vijana ili kuongeza idadi ya wachezaji wazawa watakaotumikia katika timu ya Taifa.
Rais Mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amezitaka timu zinazoshiriki Ligi Kuu hapa nchini kuwekeza kwa timu za watoto na vijana ili kuongeza idadi ya wachezaji wazawa watakaotumikia katika timu ya Taifa. Kauli hiyo ameitoa jana katika tamasha la kuhitimisha kilele cha Wiki ya Wananchi kwenye uwanja wa Mkapa jijini Dar es salaam.