Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Hii ndio rekodi ya dunia imewekwa England leo

706 Virgil Van Dijk 814305 TZW

Thu, 28 Dec 2017 Chanzo: millardayo.com

Baada ya kuwepo na mvutano kwa muda mrefu baina ya pande mbili ambazo zilikuwa zinavutana na kulaumiana, hatimae leo vilabu vya Liverpool na Southampton vimefikia muafaka wa kuuzia beki wao wa kati wa Virgil van Dijk.

Southampton leo imefikia makubaliano na Liverpool ya kumuu za Virgil van Dijk kwenda Liverpool kwa rekodi ya uhamisho ya dunia ya pound milioni 75, hiyo ni baada ya Liverpool kumuhitaji nyota huyo kwa muda mrefu huku Southampton wakiweka ugumu.

Dau hilo la usajili linaweka rekodi ya dunia kwa Virgil van Dijk kuwa ndio mchezaji ghali zaidi wa nafasi ya beki duniani kuwahi kusajiliwa kwa dau hilo.

“Nimeumia kuliko siku zote toka nimeanza kazi Simba”-Haji Manara

Chanzo: millardayo.com