Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Hii ndio ratiba ya mechi za EPL wikiendi hii

5529 WhatsApp Image 2018 03 30 At 08.32.29 1.jpeg TZW

Sat, 31 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Baada ya ligi mbali mbali duniani kupumzika kwa takribani wiki kwa kupisha mechi za timu za taifa, wikiendi hii ligi hizo zinarudi tena kwa kurudisha furaha kwa mashabiki wake wakiwemo wanaofuatilia ligi maarufu duniani ya Uingereza.



Hapa chini ni ratiba ya mechi za ligi hiyo wikiendi hii.

Jumamosi

Crystal Palace vs Liverpool

Brighton vs Leicester City

Manchester United vs Swansea

Newcastle United vs Huddersfield Town

Watford vs Bournemouth

West Bromwich Albion vs Burnley

West Ham United vs Southampton

Everton vs Manchester City

Jumapili

Arsenal vs Stoke City

Chelsea vs Tottenham Hotspur

Chanzo: bongo5.com