Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Hans Pope Kuagwa Leo Karimjee

HANS POPE 3?fit=600%2C400&ssl=1 Hans Pope Kuagwa Leo Karimjee

Mon, 13 Sep 2021 Chanzo: globalpublishers.co.tz

Mwili wa Marehemu Zakaria Hans Poppe utaagwa leo Septemba 13, katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam ambapo Wanasimba na wapenda soka na Watanzania kwa ujumla watapata fursa ya kutoa heshima zao za  mwisho.

Chanzo: globalpublishers.co.tz