Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Haji Manara apewa onyo kali na kamati ya TFF

7439 IMG 9855 TZW

Fri, 4 May 2018 Chanzo: bongo5.com

Mbwembwe za Haji Manara zimeanza kumponza. Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi, imempa onyo kali Mkuu huyo wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Simba kwa kosa la kuingia uwanjani.



Kiongozi huyo alifanya kosa hilo Jumapili iliyopita wakati wa mechi ya watani wa jadi ambapo Simba aliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Yanga.

Katika barua hiyo iliyotolewa imemtahadharisha kiongozi huyo kwa kuendelea kufanya matukio mengine kama hayo na endapo ataendelea kamati hiyo itachukua hatua kali za kinidhamu dhidi yake. Soma barua hiyo hapa chini:



Loading...
Chanzo: bongo5.com