Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Goli la Okwi lililoidhoofisha Azam FC vs Simba katika mbilio za Ubingwa VPL

2806 Sequence 01.Still050

Fri, 9 Feb 2018 Chanzo: millardayo.com

Kabla ya game ya leo Simba alikuwa kaizidi Azam FC kwa point 5, Azam wakiwa na point 33 na Simba 38, hivyo ushindi wa Simba wa goli 1-0 lililofungwa na Emmanuel Okwi dakika ya 37 kipindi cha kwanza unaifanya Simba kujikita kileleni kwa tofauti ya point nane dhidi ya Azam na tofauti ya point 7 dhidi ya Yanga anayeshika nafasi ya pili.



VIDEOMagoli: Ushindi wa 4-0 wa Yanga vs Njombe Mji, Obrey Chirwa akipiga hat-trick

Chanzo: millardayo.com