Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Gattuso alivyoiongoza AC Millan kwenye mazoezi ya mwisho kabla ya kuikabili Arsenal Europa League (+picha)

4429 49F98BF400000578 5473937 Image A 2 1520442254313 TZW

Mon, 12 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Kikosi cha AC Millan kipo katika maandalizi yake ya mwisho chini kocha wake Gennaro Gattuso tayari kuikabili Arsenal siku ya Alhamisi hatua ya 16 bora ya michuano ya Europa League.



Meneja wa klabu ya AC Milan, Gennaro Gattuso akionekana akiwaonyesha wachezaji wake namna ya kupiga mpira katika mazoezi ya hapo jana siku ya Jumatano.

Gattuso  anamuamini straika wake kijana, Patrick Cutrone ambaye aliifungia Milan goli hatua iliyopita dhidi ya Ludogorets kuwa atafanya vizuri.



Straika wa AC Millan, Patrick Cutrone akijifua kabla ya mchezo wao na Arsenal

Chanzo: bongo5.com