Mon, 28 May 2018
Chanzo: bongo5.com
/>
Kwa upande mwingine, Bale amesema kuwa goli lake la mkasi la jana usiku dhidi ya Liverpool ndio goli lake bora zaidi kuwahi kufunga na amedai kuwa amelifanyia mazoezi kwa wiki tatu akiwa na Marcelo hivyo ametimiza ndoto yake ya muda mrefu kufanya miujiza kwenye mchezo mkubwa kama wa jana.
Msikilize Bale hapa chini akiongea na waandishi wa habari na kukadhiwa zawadi yake ya Man Of The Match.
Loading...
Chanzo: bongo5.com