Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Europa League: Arsenal wapangiwa moto nusu fainali

6409 Europa 2 TZW

Sun, 15 Apr 2018 Chanzo: bongo5.com

Droo ya hatua ya nusu fainali ya kombe la Europa League 2017/18 imepangwa leo Ijumaa.



Baada ya kufanikiwa kupenya kwenye hatua hiyo kwa ubabe mkubwa, Arsenal wamepangwa kucheza na Atletico Madrid ya Hispania.



Wakati huo huo Olympique de Marseille wamepangwa kucheza na Salzburg.

Chanzo: bongo5.com