Mon, 4 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
Kiungo wa klabu ya Liverpool, Emre Can amekubali dili la kujiunga na timu ya Juventus ya Italia kwa kandarasi ya miaka minne.
Kiungo wa klabu ya Liverpool, Emre Can
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ujerumani anatarajiwa kufanya vipimo vya afya mapema wiki hii huku akiondoka Liverpool baada ya mkataba wake na klabu hiyo kutarajiwa kufikia tamati mwishoni mwa mwezi huu.
Loading...
Chanzo: bongo5.com