Wed, 9 May 2018
Chanzo: bongo5.com
Klabu hizi kubwa kabisa na zenye ushindani nchini Afrika Kusini, Kaizer Chiefs na Orlando Pirates hukutana kwenye mchezo wa Carling Black Label Cup (The charity cup) ikiwa ni ishara ya kuanza kwa msimu mpya umeahirishwa badala ya kufanyika Julai na sasa kutarajiwa kufanyika mwaka 2019 huku sababu zikielezwa ni ujio wa kombe la Dunia.
Kampuni ya bia ya AB InBev, ambayo ndiyo mmiliki wa kombe la Black Label imesema kuwa kwa sasa inatarajia kuwa sehemu ya udhamini wa michuano ya kombe la Dunia.
Loading...
Chanzo: bongo5.com