Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

CD Agosto walia na hujuma Tanzania

9B66ED9B 53BB 4FC4 91A3 4C5BA4DA2229 660x400.jpeg CD Agosto walia na hujuma Tanzania

Sun, 21 Feb 2021 Chanzo: millardayo.com

Club ya CD De Agosto ya Angola imetumia ukurasa wake wa instagram kuandika malalamiko yao kwa kudai kuwa wenyeji Namungo FC wanadhoofisha kikosi chao baada ya kupewa majibu kuwa wachezaji watano wa De Agosto hawawezi kucheza leo wana Corona.

Wachezaji wa De Agosto wanaoripotiwa kuwa na Corona ni golikipa Nebi, Bobo, Boni, Mario, Mabululu pamoja na mratibu wa timu Untonesa Sampaio.

Mchezo huo utakaochezwa leo Chamazi ambapo De Agosto anahesabika kama mwenyeji baada ya awali kushindwa kuchezwa nchini Angola kutokana na kudaiwa wachezaji na CEO wa Namungo FC kuwa na Corona.

Chanzo: millardayo.com