Mon, 21 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jioni ya Jumapili Februari 20, Wawakilishi wa Tanzania Simba SC, walikuwa ugenini kule Niger kupambana na US Gendarmerie mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya Makundi.
Mchezo huo ulimalizika kwa sare ya goli 1-1 na kuwafanya Simba kukwea mpaka kileleni katika msimamo wa Kundi D.
Tazama hapa magoli yote;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live