Wed, 20 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
/>
Kwa mujibu wa taarifa za awali zilizotolewa jioni hii na shirika la habari la ESPN zimeeleza kuwa Neymar amejitonesha kwenye enka ambayo aliumia mapema mwaka huu.
Tayari kocha wa timu ya Brazil, amethibitisha taarifa hizo na amedai kuwa mchezo unaokuja ana uhakikawa kucheza kwa asilimia 80.
Loading...
Chanzo: bongo5.com