Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Breaking: Neymar aumia mazoezini, Kocha na wachezaji wa Brazil washikwa na butwaa (+video)

Video Archive
Wed, 20 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

/>

Kwa mujibu wa taarifa za awali zilizotolewa jioni hii na shirika la habari la ESPN zimeeleza kuwa Neymar amejitonesha kwenye enka ambayo aliumia mapema mwaka huu.

Tayari kocha wa timu ya Brazil, amethibitisha taarifa hizo na amedai kuwa mchezo unaokuja ana uhakikawa kucheza kwa asilimia 80.



Loading...
Chanzo: bongo5.com