Good news ni kwamba ikiwa leo ni kilele cha wiki ya Simba SC yaani Simba DAY baada kumaliza shamra shamra uwanjani sasa shangwe zitahamia Kidimbwi Beach ambapo wakali kutokea Bongo Flevani, Whozu, Young Lunya, Professor Jay pamoja na msanii wa kike kutokea Afrika Kusini Boohle watawanogesha mashabiki wakaofika mahali hapo.
Good news ni kwamba ikiwa leo ni kilele cha wiki ya Simba SC yaani Simba DAY baada kumaliza shamra shamra uwanjani sasa shangwe zitahamia Kidimbwi Beach ambapo wakali kutokea Bongo Flevani, Whozu, Young Lunya, Professor Jay pamoja na msanii wa kike kutokea Afrika Kusini Boohle watawanogesha mashabiki wakaofika mahali hapo.