Wed, 28 Jul 2021
Chanzo: millardayo.com
Staa wa Simba SC Bernard Morrison leo July 27, 2021 amekabidhiwa rasmi tuzo yake ya mchezaji bora wa mwezi June 2021 wa mashabiki wa Simba SC, Morrison alichelewa kutokana na kuwa na majukumu ya kifamilia akaenda kwao Ghana.
Staa wa Simba SC Bernard Morrison leo July 27, 2021 amekabidhiwa rasmi tuzo yake ya mchezaji bora wa mwezi June 2021 wa mashabiki wa Simba SC, Morrison alichelewa kutokana na kuwa na majukumu ya kifamilia akaenda kwao Ghana.
Chanzo: millardayo.com