Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Bayern Munich yaitaka Manchester United kutoa kitita kinono kama inahitaji huduma ya Boateng

9686 Skysports Jerome Boateng Boateng 4336578 TZWeb

Thu, 21 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

Klabu ya Bayern Munich ya nchini Ujerumani imeitaka Manchester United kutoa kitita cha pauni Milioni 50 kama inahitaji huduma ya Jerome Boateng.



United imekuwa ikihaha kuhakikisha inaingia kandarasi na beki huyo mwenye umri wa miaka 29 anayekipiga kwenye timu ya Bayern ili kuimarisha eneo la ulinzi.

Jose Mourinho amemuweka Boateng kwenye listi ya wachezaji nane anao wahitaji katika eneo la beki wa kati ndani ya Manchester United. Hata hivyo United ipo kwenye mazungumzo na klabu ya Tottenham juu ya Toby Alderweireld.

Loading...
Chanzo: bongo5.com