Thu, 1 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Straika wa Chelsea, Michy Batshuayi yupo katika vipimo vya afya ndani ya klabu ya Borussia Dortmund ikiwa ni hatua za mwisho kuhamia timu hiyo na kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Aubameyang aliyetua Arsenal.
Batshuayi ambaye ni raia wa Ubelgiji ameonekana katika klabu ya Dortmund akifanyiwa vipimo vya afya wakati nafasi yake ikichukuliwa na Olivier Giroud anayetokea Arsenal.
Well played, @mbatshuayi!
Chanzo: bongo5.com