Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Batshuayi katika hatua za mwisho kujiunga na Dortmund

2347 48B6E46000000578 5334483 Image A 21 1517398058330 TZW

Thu, 1 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Straika wa Chelsea, Michy Batshuayi yupo katika vipimo vya afya ndani ya klabu ya Borussia Dortmund ikiwa ni hatua za mwisho kuhamia timu hiyo na kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Aubameyang aliyetua Arsenal.



Batshuayi ambaye ni raia wa Ubelgiji ameonekana katika klabu ya Dortmund akifanyiwa vipimo vya afya wakati nafasi yake ikichukuliwa na Olivier Giroud anayetokea Arsenal.



Chanzo: bongo5.com