Mon, 26 Jul 2021
Chanzo: millardayo.com
Ni July 25, 2021 ambapo Simba SC ilitwaa ubingwa dhidi ya Yanga katika mchezo uliochezwa Mkoani Kigoma kwenye uwanja wa Lake Tanganyika sasa baada ya kumalizika kwa mchezo hapa Ayo TV imemnasa Barbara Gonzalez ambae ni CEO wa Simba akitafuta medali yake iliyopotea uwanjani hapa Tazama.
Ni July 25, 2021 ambapo Simba SC ilitwaa ubingwa dhidi ya Yanga katika mchezo uliochezwa Mkoani Kigoma kwenye uwanja wa Lake Tanganyika sasa baada ya kumalizika kwa mchezo hapa Ayo TV imemnasa Barbara Gonzalez ambae ni CEO wa Simba akitafuta medali yake iliyopotea uwanjani hapa Tazama.
Chanzo: millardayo.com