Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Azam FC yachomoza na ushindi mwembamba mbele ya Mtibwa Sugar

7201 AZAMMM12.png TZW

Sun, 29 Apr 2018 Chanzo: bongo5.com

Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC  imefanikiwa kuchomoza na ushindi mwembamba wa bao 1 – 0 dhidi ya Mtibwa Sugar mchezo wa ligi kuu soka Tanzania Bara.



Azam FC imefanikiwa kupata bao lake la mapema kupitia kwa mchezaji wake, Shaban Idd dakika ya 38 akipokea pasi safi kutoka kwa Ramadhan Singano na hivyo kuwafanya matajiri hao wa Jiji la Dar es Salaam kuzidi kujiimarisha nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi.



Loading...
Chanzo: bongo5.com