Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Atokwa na meno baada ya kumng’ata golikipa

2680 48E637EB00000578 0 Image A 38 1517835063239 TZW

Wed, 7 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Beki wa klabu ya Atletico Madrid, Diego Godin hapo jana siku ya Jumapili alijikuta akitokwa na meno baada ya kumng’ata golikipa wa Valencia katika mchezo wa ligi kuu ya Hispania Laliga.



Klabu hiyo ya Atletico imetoa taarifa kuwa Godin amefikishwa katika hospitali ya meno jijini Madrid  kufuatia dhahama hiyo huku timu hiyo ikiibuka na ushindi wa bao 1 – 0 katika dimba la Wanda Metropolitano.

Baada ya tukio hilo ililazimika Godin afanyiwe mabadiliko haraka mapema mwa kipindi cha pili cha mchezo huo huku wakati tukio hilo likiwa limetokea wakati mlinda lango wa Valencia Neto akiokoa mpira wa hadhabu.

Chanzo: bongo5.com