Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Asante Kwasi atema cheche Mapinduzi Cup

1136 Asante Kwasi 138 TZW

Fri, 5 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Beki mpya wa klabu ya Simba Mghana, Asante Kwasi hapo jana amefanikiwa kufunga bao lake la kwanza katika mchezo wake wa kwanza akiwa anaitumikia timu hiyo toka asajiliwe katika dirisha hili la mwezi wa kwanza akitokea Lipuli FC.

Kwasi ambaye usajili wake umetikisa vichwa vya habari hapa nchini amewahi kuitumikia klabu ya Mbabane Swallows ya Swaziland kabla ya kujiunga na Lipuli FC.

Mghana huyo anayecheza nafasi ya ulinzi ameshinda bao hilo katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya timu ya Jamhuri huko Visiwani Zanzibar na kufanya Simba SC kuchomoza na na ushindi wa mabao 3-1.

Chanzo: bongo5.com