Mon, 22 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Ligi kuu ya England imeendelea hii leo kwa michezo kadhaa kupigwa kwenye viwanja mbalimbali huko Emirates klabu ya Arsenal imeweza kuchomoza na ushindi mnono wa mabao 4 – 1 bila mshambuliaji wake raia wa Chile Alexis Sanchez ambaye yupo mbioni kujiunga na Manchester United.
Kwa matokeo hayo Arsenal anakuwa na pointi 42 ikishika nafasi ya sita katika msimamo wa ligi ya England huku wakiwa wamecheza michezo 24.
Chanzo: bongo5.com