Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Arsenal wamtangaza rasmi Unai Emery kumrithi Wenger

8307 Skysports Unai Emery Arsene 4288807 1 TZW

Wed, 23 May 2018 Chanzo: bongo5.com

Klabu ya Arsenal imemtangaza Unai Emery kuwa kocha wao mpya ambaye anarithi mikoba ya Arsene Wenger.



Arsenal wamethibitisha kumsajili Unai ambaye alikuwa kocha wa PSG kwa misimu miwili iliyopita.

“Our new head coach. Together, let’s make this era a special one #WelcomeUnai,” wameandika Arsenal kwenye mitandao hiyo.

Unai amedaiwa kusaini mkataba wa miaka mitatu wa kuifundisha timu hiyo ambapo atakuwa akilipwa mshahara wa paundi mlioni tano kila mwaka.

Loading...
Chanzo: bongo5.com