Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Arsenal ipo mbioni kuinasa saini ya kiungo wa Uruguay, Lucas Torreira

9026 PA 33794986 600x400 TZW

Wed, 13 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

Klabu ya Arsenal ya nchini Uingereza ipo kwenye mazungumzo na kiungo wa Uruguay, Lucas Torreira anaekipiga Sampdoria inayoshiriki ligi ya Serie A ili kuona kama wataweza kunasa saini yake.



Kiungo huyo wakati mwenye umri wa miaka 22 anapewa nafasi kubwa ndani ya the Gunners huku ikiripotiwa kutengewa bajeti ya pauni milioni 26.

Mpaka sasa hakuna makubaliano yoyote yaliyofikiwa kwa Torreira ambaye yupo nchini Urusi kwenye michuano ya kombe la Dunia. Mpaka sasa The Gunners imemsajili beki wa Uswis, Stephan Lichtsteiner kwa uhamisho huru akitokea Juventus.

Loading...
Chanzo: bongo5.com