Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Andy Murray ajifua kufa kupona

5397 Andy Murray TZW

Wed, 28 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Mchezaji tennis raia wa Uingereza, Andy Murray ameanza rasmi mazoezi katika kituo cha Patrick Mouratoglou academy huko nchini Ufaransa baada ya kupita takribani miezi mitatu tangu kufanyiwa upasuaji.



Bingwa huyo mara tatu wa taji la Grand Slam anatarajia kurejea uwanjani mwezi Juni mwaka huu lakini kunauwezekano mkubwa wa kurudi mapema zaidi ya inavyotarajiwa kufuatia mazoezi makali anayofanya.

Mwanachama mmoja wa kituo hicho ameiyambia AFP kuwa, Andy Murray amewasili usiku wa Ijumaa na kutarajiwa kuwa hapo hadi wiki ya kwanza ya mwezi Aprili.

Spotted @andymurray back on courts practicing at the @mouratoglou_tennis_academy

Chanzo: bongo5.com