Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Ajib ajisalimisha Yanga

10979 AJIB+PIC TanzaniaWeb

Thu, 9 Aug 2018 Chanzo: mwananchi.co.tz

Morogoro. Hatimaye mshambuliaji Ibrahim Ajib amewasili kambini Yanga Mkoani Morogoro.

Ajib ametua mazoezini asubuhi hii akiwa pamoja na wenzake.

Ajib alionekana kukimbia peke yake nje ya uwanja baada kukosa sehemu kubwa ya mazoezi na wenzake.

Kuwasili kwa Ajib kunafanya sasa kusalia mchezaji mmoja pekee Mohammed Issa 'Banka'  ambaye bado hajajiunga na timu hiyo.

Chanzo: mwananchi.co.tz