Mon, 3 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ahmed Ally, Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Simba SC amezungumza kwa mara ya kwanza baada ya kupata wadhifa huo.
Ahmed ameonesha furaha yake na tayari yuko njiani kuelekea Zanzibar kuungana na kikosi kwenye Mapinduzi Cup.
Msikilize kwa makini hapa akieleza furaha yake;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live