Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

"Wewe ukizingua, tutazinguana, mmemiudhi sana" Rais Samia Ikulu leo (+video)

Video Archive
Tue, 6 Apr 2021 Chanzo: millardayo.com

“Wewe ni kijana mimi ni mama ukinizingua tutazinguana,” ni kauli ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenda kwa  Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Meli Tanzania  (TASAC).

“Ulikuwa ndani ya Tasac unayajua madudu yaliyopo.  Jambo lililoniudhi zaidi kwa mwaka mmoja mmefanya vikao 23 vya bodi na imetumiwa karibu Sh600 milioni, ukiangalia kilichozungumzwa na tija ya vikao hivyo hakuna.” Samia

“Nataka ukafanye kazi na sio kwenda kupandisha mabega kwa wenzio uliowaacha, kama kuna makundi ukayaondoe, tunataka Tasac izalishe. Nasisitiza kafanye kazi ukinizingua tutazinguana,” Samia

Chanzo: millardayo.com