Menu ›
Habari
Sat, 25 Sep 2021
Chanzo: millardayo.com
Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma imewahukumu kunyongwa hadi kufa Atu wawili wakazi wa wa kijiji cha Gwanumpu Wilaya ya Kakonko Mkoani Kigoma baada ya kukutwa na hatia ya kumuua Mtoto wa miaka 12 waliomteka wakishinikiza Wazazi wake wawapatie shilingi milioni 5.
Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma imewahukumu kunyongwa hadi kufa Atu wawili wakazi wa wa kijiji cha Gwanumpu Wilaya ya Kakonko Mkoani Kigoma baada ya kukutwa na hatia ya kumuua Mtoto wa miaka 12 waliomteka wakishinikiza Wazazi wake wawapatie shilingi milioni 5.
Chanzo: millardayo.com