Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Rais Samia Amwapisha Balozi Mndolwa - Video

Video Archive
Mon, 19 Apr 2021 Chanzo: globalpublishers.co.tz

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemuapisha aliyekuwa Balozi Mteule Yusuph Mndolwa Tindi kuwa Balozi na kuwa Mkuu wa Itifaki (Chief of Protocol-CP), leo tarehe 19 Aprili, 2021, asubuhi hii, Ikulu ya Chamwino Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemuapisha aliyekuwa Balozi Mteule Yusuph Mndolwa Tindi kuwa Balozi na kuwa Mkuu wa Itifaki (Chief of Protocol-CP), leo tarehe 19 Aprili, 2021, asubuhi hii, Ikulu ya Chamwino Dodoma.

Chanzo: globalpublishers.co.tz